E-MAIL jamesjovin23@yahoo.com
kwa habari, matukio, michezo na burudani
Pages
▼
Wednesday, December 11, 2013
picha ya leo
hakuna binadamu yeyote anayeweza kugeuka dili ni mawazo finyu ya watu wanaopenda utajiri wa haraka kawaulize matajiri kote duniani hakuna utajiri wa siku moja swala la msingi ni kujituma unapofanya kazi tuwalinde walemavu wa ngozi. JAMES JOVIN
No comments:
Post a Comment